Kiungo wa Yanga Feisal Salum 'Fei Toto' ameitwa mbele ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kwa ajili ya kusikilizwa shauri lililowasilishwa na klabu ya Yanga dhidi yake
Inafahamika tangu Disemba 23 2022 Feisal aliondoka kambini na tangu wakati huo hakurejea
Feisal ambaye inaelezwa yuko nje ya nchi, ametakiwa kuripoti mbele ya Kamati hiyo hiyo akiwa na Mwanasheria wake kwa ajili ya kusikilizwa kwa malalamiko ya mkataba dhidi yake