Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema tayari wamekamilisha usajili wa wachezaji wawili ambao wanasubiri kutambulishwa
Kamwe amesema usajili huo umezingatia mahitaji ya benchi la ufundi, akiwataka mashabiki wa Yanga kuwa watulivu
Kamwe ametamba kuwa usajili huo utakwenda kutuliza fujo zote kutoka kwa watani zao
"Tumewaacha wafanye fujo zao kwanza tunawatazama tu, sisi hatusaji tu kwa sababu tumemkuta mchezaji yuko free"
"Nawaambia, hivi karibuni tutashusha mashine mbili mpya.Tuna jambo kubwa kweli kweli la usajili tutalifanya tutaitetemesha Nchi," alitamba Kamwe
Juzi Yanga iliwaweka sawa mashabiki wake tayari kwa utambulisho huo wa usajili
⚽ USIKOSE KUZITAZAMA LIVE LEO BUREE ⚽
👉 Simba vs Mlandege
👉 Arsenal vs Newcastle
👉 Man united vs Bournemouth
👉 Leister city vs Fulham
👉 Cacereno vs Real Madrid
Usikose kuzitazama Mechi zote hizi Live kupitia app yetu BUREE bofya link hii kuidownload app 👉👉BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD APP YETU BURE KUTOKA PLAY STORE ILI USIPITWE NA MECHI ZOTE HIZI BUREE