Michuano ya kombe la Mapinduzi 2022/23 inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu ambapo makundi yamewekwa hadharani
Yanga imepangwa kundi B pamoja na timu za KMKM na Singida Big Stars
Kundi A lina Azam Fc, Malindi na Jamhuri wakati kundi C lina Simba, Mlandege na KVZ
Kundi D lina timu za Namungo Fc, Aigle Noir na Chipukizi