Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa usiku wa kuamkia Ijumaa, Disemba 16 2022 kwa timu za Ligi Kuu, Championship, daraja la kwanza na ligi ya Wanawake
Dirisha hilo litafungwa Januari 15 2023 ambapo klabu zitatakiwa kufanya usajili pamoja na kukamilisha uhamisho wa kimataifa ndani ya muda
Ni nafasi Kwa vilabu vyote kufanya maboresho muhimu ili kuhakikisha wanatimiza malengo yao