Type Here to Get Search Results !

LIVE MUDA HUU: HOROYA FC VS SIMBA ITAZAME LIVE HAPA

 


Mikiki mikiki ya hatua ya makundi michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika ilianza jana ambapo mechi mbili zilipigwa

Katika kundi C ambalo Simba imepangwa, ulipigwa mchezo mmoja kati ya Raja Casablanca dhidi ya Vipers Fc

Raja wakaifumua Vipers mabao 5-0 katika mchezo uliopigwa huko Morocco

Leo Simba iko ugenini dhidi ya Horoya Ac katika mchezo ambao upo LIVE Muda huu unaweza kuitazama mechi hii kupitia app yetu 

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.